2023
Paulo Anatufundisha Kumfuata Yesu Kristo
Oktoba 2023


“Paulo Anatufundisha Kumfuata Yesu Kristo,” Rafiki, Okt 2023, 46–47.

Ujumbe wa Kila mwezi wa Liahona , Oktoba 2023

Paulo Anatufundisha Kumfuata Yesu Kristo

Picha
Alt text

Vielelezo na Apryl Stott

Paulo alikuwa Mtume. Alitufundisha tuwe mifano kwa wengine. Hilo humaanisha kufanya kile ambacho Yesu Kristo angekifanya.

Picha
Alt text

Paulo alisema kwamba tunapaswa kutumia maneno mazuri wakati tunapozungumza na wengine.

Picha
Alt text

Pia alisema tunapaswa kuwa na imani katika Yesu Kristo.

Picha
Alt text

Alifundisha kwamba tunapaswa kufanya chaguzi nzuri, kama vile kuwasaidia wengine.

Ukurasa wa Kupaka Rangi

Ninaweza Kumfuata Yesu Kristo

Picha
alt text here

Kielelezo na Apryl Stott

Ninaweza kumfuata Yesu Kristo kwa kumsikiliza nabii.

Chapisha