1
Naweza Yote
1. Niwapo bondeni,
Kila dhoruba,
Mwokozi yu nami
Kila mara.
Huniongoza
Njia zote,
Nguvu ikiisha,
Huiponya roho
Kunipa na uwezo.
Naye yupo,
Najua
[Chorus]
Naweza yote.
Majini nikimezwa,
Nitamwomba neema
Aninusuru.
Naweza yote
Nikiwa na Mwokozi.
Nitapanda zaidi,
Nipate nguvu.
Nitaweza na Kristo.
Nitaweza na Kristo.
2. Upana wa jangwa
Nitaupita.
Niwapo na njaa
Waongo waja,
Nitasihi mbingu
Pepo zikome.
Mwokozi kiongozi, Najua
[Chorus]
Naweza yote.
Majini nikimezwa,
Nitamwomba neema
Aninusuru.
Naweza yote
Nikiwa na Mwokozi.
Nitapanda zaidi,
Nipate nguvu.
Nitaweza na Kristo.
Nitaweza na Kristo.
3. Niwapo kifungoni, huzikata pingu.
Nitapokufa atakiondoa kifo.
Ataniongoza woga ukinijia,
Namwamini.
[Chorus]
Nitaweza yote.
Majini nikimezwa,
Nitamwomba neema
Aninusuru.
Naweza yote
Nikiwa na Mwokozi.
Nitapanda zaidi,
Nipate nguvu.
Nitaweza na Kristo.
Nitaweza na Kristo.
Nitaweza na Kristo.
Words and music by Nik Day
Arranged by Mitch Davis and Nik Day
Produced by Mitch Davis
© 2022 by Intellectual Reserve, Inc. All rights reserved.
Wimbo huu ni kwa matumizi ya kawaida ya kanisa, yasiyo ya kibiashara, au matumizi ya nyumbani.
Notisi hii lazima ionekane kwenye kila nakala iliyotolewa.