2013
Njia za kuokoa
Oktoba 2013


Watoto

Njia za kuokoa

Rais Thomas S. Monson anafundisha kwamba tunatakiwa tuwafikie wengine, wakiwemo wazee, wajane, wagonjwa, walegevu, na wale wanaohitaji msaada zaidi. Fikiria watu unaowajua ambao wangetumia huduma fulani.

Andika au chora picha za mawazo ya njia utakazoweza kuwasaidia baadhi ya watu hawa. Ungeweza kuwaomba wazazi wako wakusaidie na mawazo na halafu uchague moja la kujaribu juma hili.

Chapisha