2014
Panga Mavuno Yako
Agosti 2014


Watoto

Panga Mavuno Yako

Sheria ya Mungu ya mavuno ni kwamba ikiwa tunataka kitu hapo baadaye, lazima tukifanyie kazi sasa. Ikiwa tunataka kupanda bustani, tunahitaji kupanda mbegu, kuzimwagilia maji, na kuzilinda kutokana na magugu. Tusipofanya hivi, hatutakuwa na mavuno yoyote baadaye!

Hapa chini kuna orodha ya baadhi ya “matunda” mazuri ambayo ungetaka maishani mwako. Andika chini baadhi ya vitu unavyoweza kufanya mwezi huu ili kukusaidia kupokea baraka hizi.

  • Nyumba yenye furaha

  • Elimu

  • Marafiki wema

  • Ubatizo na Uthibitisho

  • Ushuhuda wa Yesu Kristo

Chapisha