Kwa Watoto
Kusogea Karibu na Bwana
Katika Kirtland, Ohio, Nabii Joseph Smith alipokea ufunuo. Bwana alimwambia, “Sogeeni karibu nami na Mimi nitasogea karibu na nyinyi; nitafuteni kwa bidii nanyi mtanipata” (M&M 88:63). Njia moja ambayo tunaweza kusogea karibu na Bwana ni kwa kufuata Nabii Wake.
Chora picha ya vitu ambavyo Rais Thomas S. Monson ametuuliza kufanya:
Omba.
Kuwa Mkarimu.
Jitahidi sana ili kujifunza.
Saidia Wengine.
Shirikisha ushuhuda wako.
Soma maandiko.