2010
Mwongozo wa Kutusaidia Sisi Kufika Nyumbani
Septemba 2010


Watoto

Mwongozo wa Kutusaidia Sisi Kufika Nyumbani

Ungehisi namna gani kama ungepotea na haukujua njia ya kufika nyumbani kwa familia yako? Ungefurahi kama ungemfuata mtu ambaye angekuonyesha njia? Rais Eyring anasema Kitabu cha Mormoni ni kama mwongozo ambao utatusaidia sisi kufika nyumbani tena kwa Baba wa Mbinguni.

Hapa chini kuna mambo fulani Kitabu cha Mormoni kinatuambia tunayohitaji kufanya ili kufika nyumbani tena. Soma 2 Nefi 31:10, 11, 20. Chini ya kila kifungu, andika mstari sahihi kutoka kwa Kitabu cha Mormoni. Unahitajika kutumia mojawapo wa mistari mara mbili.

Tubu na Ubatizwe

Kuwa na Matumaini ya Juu

Mpende Mungu na Watu wote

Mfuate Yesu

Chapisha