Watoto na Vijana
Kumfuata Mwokozi Kwenye Mambo yote Katika Maisha Yako


“Kumfuata Mwokozi Kwenye Mambo Yote Katika Maisha Yako,” Mwongozo wa Utangulizi kwa ajili ya Watoto na Vijana wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho (2019)

“Kumfuata Mwokozi Kwenye Mambo Yote Katika Maisha Yako,” Mwongozo wa Utangulizi kwa ajili ya Watoto na Vijana wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho

Kumfuata Mwokozi Kwenye Mambo yote Katika Maisha Yako

Picha
kiroho, kijamii, kiakili, kimwili

Baba wa Mbinguni anakutaka wewe kujifunza na kukua. Alimtuma Mwanaye, Yesu Kristo, kuwa mfano kamili kwetu sote katika kila jambo. Maandiko yanafundisha kwamba katika ujana Wake “Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu” (Luka 2:52).

Yesu Kristo aliongezeka kwenye mambo yote maishani Mwake—kiroho (akimpendeza Mungu), kijamii (akiwapendeza wanadamu), kimwili (kimo), na kiakili (hekima)—nawe pia unaweza!

Je, tayari unafanya nini katika mambo haya? Anza kufikiria juu ya nini unataka kuboresha au kuanza kufanya.

Andika au chora mawazo yako kwenye visanduku vifuatavyo:

Kiroho

Kijamii

Kimwili

Kiakili

Chapisha