2014
Upo Tayari?
Septemba 2014


Watoto

Je! U Tayari?

Majibu: Kweli, Kweli, Si kweli, Kweli, Si Kweli

Rais Monson ameomba kila mmoja wetu ajitayarishe kwa nyakati ngumu na kuwasaidia wengine wakati wa nyakati zao ngumu. Jibu swali hili kweli au si kweli ili uone kama u tayari!

Ninaweza kupata mtu wa kusaidia kila mara Kweli □ Si Kweli □

Ninaweza kushukuru kwa kila kitu nilichonacho Kweli □ Si Kweli □

Sina vipawa vyovyote kushirikiana na yeyote Kweli □ Si Kweli □

Kuweka akiba ya pesa kwa hali ya baadaye ni wazo nzuri. Kweli □ Si Kweli □

Ninahitaji nguo na vitu vipya vya kuchezea ili niwe na furaha. Kweli □ Si Kweli □

Chapisha