Watoto na Vijana
Ni kwa jinsi gani Unaweza Kumfuata Yesu?


“Ni kwa jinsi gani Unaweza Kumfuata Yesu?” Maendeleo Binafsi: Kitabu cha Mwongozo cha Watoto (2019)

“Ni kwa jinsi gani Unaweza Kumfuata Yesu?” Maendeleo Binafsi: Kitabu cha Mwongozo cha Watoto

Ni kwa jinsi gani Unaweza Kumfuata Yesu?

Wakati Yesu alipokuwa na umri kama wako, Alijifunza na kukua. Wewe pia unajifunza na kukua. Maandiko yanasema:

Picha
Luka 2:52

Kiroho

“Kumpendeza Mungu”

Picha
kijana akiomba

Mwoneshe Baba wa Mbinguni kwamba unampenda. Unaweza kujifunza kuhusu Yeye, kuomba, kusoma maandiko, na kuchagua mema.

Kijamii

“Kumpendeza … mwanadamu”

Picha
watu wakizungumza

Wasaidie watu wanaokuzunguka. Unaweza kuipenda familia yako, kujifunza kupenda na kuwatumikia wengine, na kutengeneza urafiki.

Kimwili

“Kimo”

Picha
kijana akicheza

Utunze mwili wako na vitu vinavyokuzunguka. Unaweza kula vyakula vyenye afya, kufanya kazi na kucheza, na kutunza nyumba yako.

Kiakili

“Hekima”

Picha
kijana akisoma

Jifunze mambo mapya, na tumia kile unachojifunza kuwasaidia wengine. Unaweza kujifunza nyumbani, kanisani, na shuleni.

Chapisha