2. Palmyra-Manchester, New York, 1820–1831
Kask.
Shamba la Martin Harris
Macedon (Eneo la Mji)
Palmyra (Eneo la Mji)
Kiwanja cha Kaburi la Alvin Smith
Kiwanda cha Kupigia Chapa cha E. B. Grandin
Mfereji wa Erie
Red Kijito
Kijiji cha Palmyra
Nyumba ya Magogo ya Joseph Smith Mkubwa
Kijito cha Hathaway
Shamba la Joseph Smith Mkubwa
Wilaya ya Wayne
Wilaya ya Ontario
Wilaya ya Wayne
Wilaya ya Ontario
Kijisitu Kitakatifu
Nyumba ya Mbao ya Joseph Smith Mkubwa
Manchester (Eneo la Mji)
Barabara ya Canandaigua
Barabara ya Fox
Barabara ya Shule ya Armington
Farmington (Eneo la Mji)
Barabara ya Stafford
Kijito cha Hathaway
Kilima Kumora
Kilomita
0 1 2
A B C D
1 2 3 4
1
2
3
4
5
6
7
8
-
Nyumba ya Magogo ya Joseph Smith Mkubwa Malaika Moroni alimtokea Joseph Smith katika chumba cha orofani cha nyumba hii mnamo 21–22 Septemba 1823 (ona JS—H 1:29–47).
-
Shamba la Joseph Smith Mkubwa Shamba hili la hekta 40 liliendelezwa na familia ya Smith tangu mwaka 1820 hadi 1829.
-
Kijisitu Kitakatifu Ono la Kwanza la Joseph Smith Mdogo lilitokea katika eneo hili la miti katika shamba la Smith mapema katika majira ya kuchipua ya mwaka 1820 (ona JS—H 1:11–20).
-
Nyumba ya Mbao ya Joseph Smith Mkubwa Nyumba hii ilianza kujengwa katika mwaka 1822 na Alvin Smith, na ilikaliwa na familia ya Smith tangu 1825 hadi 1829.
-
Kilima Kumora Hapa malaika Moroni alimpa Nabii Joseph Smith mabamba ya dhahabu mnamo 22 Septemba 1827 (ona JS—H 1:50–54, 59).
-
Shamba la Martin Harris Shamba hili liliwekwa rehani na sehemu ya eneo lake liliuzwa ili kulipia gharama za kupiga chapa Kitabu cha Mormoni.
-
Kiwanda cha Kupigia Chapa cha E. B. Grandin Nakala 5000 za Kitabu cha Mormoni zilipigwa chapa hapa mwaka 1829–1830.
-
Kijito cha Hathaway Katika kijito hiki, mra nyingi kiliitwa Kijito Kilichopinda na wakazi wake wa awali, baadhi ya ubatizo wa mwanzo wa Kanisa ulifanyika.