Misaada ya Kujifunza
TJS, 1 Yohana 4


TJS, 1 Yohana 4:12. Linganisha na 1 Yohana 4:12

Ni watu wanaomwamini Mungu ndiyo wanaoweza kumuona Yeye.

12 Hakuna mtu aliyemuona Mungu wakati wowote, isipokuwa wao wamwaminio. Kama tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu, na pendo lake linakamilika ndani yetu.

Chapisha