Maktaba
2. Kutoka kwa Israeli Misri na Kuingia katika Kanaani


2. Kutoka kwa Israeli Misri na Kuingia katika Kanaani

Picha
ramani ya Biblia 2

Kask.

Ufunguo

Njia inayowezekana kuwa ilitumika Kutoka

Ai

Mto Yordani

Gilgali

Mlima Nebo

Yeriko

Yerusalemu

Diboni

Hebroni

Bahari ya Chumvi (Bahari ya Mauti)

Arnoni

Bahari Kuu (Bahari ya Mediterania)

Gaza

Kanaani

Aradi

Moabu

Wafilisti

Beer-sheba

Zeredi

Mto wa Misri

Nyika za Zini

Edomu

Delta ya Nile

Ramesesi (Tanisi)

Nyika za Shuri

Kadeshi-barnea

Mlima Hori

Gosheni

Pithomu

Sukothi

Misri

Nyika za Parani

Araba (Bonde la Ufa)

Nyika za Mashariki

Oni (Heliopolo)

Pi-hahirothi?

Nyika za Ethamu

Rasi ya Sinai

Esioni-gberi

Nofi (Memfi)

Mto Nile

Mara?

Elimu?

Ghuba ya Suezi

Nyika za Sini

Nyika za Sinai

Kambi za Nyikani

Midiani

Dofka?

Refidimu?

Ghuba ya Akaba

Mlima Sinai? (Horebu)

Bahari ya Shamu

Kilomita

0 40 80 120

A B C D

1 2 3 4

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

17

18

  1. Ramesesi Israeli waliondolewa na Farao kutoka Misri (Ku. 12; Hes. 33:5).

  2. Sukothi Baada ya Waebrania kuondoka kambi hii ya kwanza, Bwana akawa pamoja nao katika wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku (Ku. 13:20–22).

  3. Pi-hahirothi Waisraeli walipita katikati ya Bahari ya Shamu (Ku. 14; Hes. 33:8).

  4. Mara Bwana aliyaponya maji ya Mara (Ku. 15:23–26).

  5. Elimu Waisraeli walipiga kambi karibu na chemchemi 12 (Ku. 15:27).

  6. Nyika za Sini Bwana alileta mana na kware ili kuwalisha Waisraeli (Ku. 16).

  7. Refidimu Waisraeli walipigana na Amaleki (Ku. 17:8–16).

  8. Mlima Sinai (Mlima Horebu au Yebeli Musa) Bwana alizifunua Amri Kumi (Ku. 19–20).

  9. Nyika za Sinai Waisraeli walijenga hema takatifu (Ku. 25–30).

  10. Kambi za Nyikani Wazee sabini wa Israeli waliitwa ili kumsaidia Musa kutawala watu (Hes. 11:16–17).

  11. Esioni-gberi Israeli walipita katikati ya nchi za Esau na Amoni kwa amani (Kum. 2).

  12. Kadeshi-barnea Musa aliwatuma wapelelezi katika nchi ya ahadi; Israeli waliasi na kushindwa kuingia katika nchi hiyo; Kadeshi ilitumika kama kambi kuu ya Waisraeli kwa miaka mingi (Hes. 13:1–3, 17–33; 14; 32:8; Kum. 2:14).

  13. Nyika za Mashariki Israeli waliepuka ugomvi na Edomu na Moabu (Hes. 20:14–21; 22–24).

  14. Mto Arnoni Waisraeli waliwaangamiza Waamori waliopigana nao (Kum. 2:24–37).

  15. Mlima Nebo Musa aliiangalia nchi ya ahadi (Kum. 34:1–4). Musa alitoa mahubiri yake matatu ya mwisho (Kum. 1–32).

  16. Nyanda za Moabu Bwana aliwaambia Israeli kugawana nchi na kuwanyangʼanya wakazi wake (Hes. 33:50–56).

  17. Mto Yordani Waisrael walivuka Mto Yordani juu ya nchi kavu. Karibu na Gilgali, mawe kutoka chini ya Mto Yordani yaliwekwa na Waisraeli kama mnara wa kumbukumbu ya kugawanywa kwa maji ya Yordani (Yos. 3:1–5:1).

  18. Yeriko Wana wa Israeli waliuteka na kuuangamiza mji huu (Yos. 6).

Chapisha