Kufundisha katika Njia ya Mwokozi: Kwa Ajili ya Wote Wanaofundisha Nyumbani na Kanisani Utangulizi Ujumbe kutoka kwa Urais wa KwanzaNyenzo hii inaweza kuwa mwongozo wako wa kujifunza kuhusu jinsi Mwokozi alivyofundisha. Kadiri unavyojitahidi kufundisha katika Njia Yake, Yeye atakusaidia wewe kuwa mwalimu Yeye anajua unaweza kuwa. Dhumuni la Kufundisha katika Njia ya MwokoziKanuni ambazo zimeelezwa katika nyenzo hii zinaweza kumsaidia kila mwalimu wa injili kufundisha katika njia ya Mwokozi. Sehemu ya 1: Fokasi kwa Yesu Kristo Sehemu ya 1: Fokasi kwa Yesu Kristo Fundisha kuhusu Yesu Kristo Bila KujalI Kitu UnachofundishaBila kujali kitu unachofundisha, kumbuka kwamba hakika wewe unafundisha kuhusu Yesu Kristo na jinsi ya kuwa zaidi kama Yeye. Wasaidie Wanafunzi Kuja kwa Yesu KristoHakuna kitu unachofanya kama mwalimu kitakachowabariki zaidi wanafunzi kuliko kuwasaidia kumjua Baba wa Mbinguni na Yesu Kristo na kuhisi upendo Wao (ona Yohana 17:3). Sehemu ya 2: Kanuni za Kufundisha Kama Kristo Sehemu ya 2: Kanuni za Kufundisha Kama Kristo Wapende Wale UnaowafundishaUpendo wa Kristo unapokuwa mioyoni mwetu, tunatafuta kila njia inayowezekana ili kuwasaidia wengine kujifunza kuhusu Kristo na kuja Kwake. Upendo unakuwa kichocheo cha ufundishaji wetu. Fundisha kupitia RohoUanapofundisha injili ya Yesu Kristo, unaweza kuwa naye Roho Mtakatifu ili akuongoze na kushuhudia juu ya ukweli kwenye akili na mioyo ya wale unaowafundisha (ona Mafundisho na Maagano 8:2). Fundisha Mafundisho Unaweza kufundisha kwa uwezo, kama Mwokozi alivyofanya, kwa kufundisha mafundisho ya Baba. Alika Kujifunza kwa BidiiTunapofuata mfano wa Mwokozi, tunawaalika wale tunaowafundisha kuuliza, kutafuta, na kubisha—na kisha kupata (ona Mathayo 7:7–8) Sehemu ya 3: Misaada yenye Kufaa na Maoni Sehemu ya 3: Misaada yenye Kufaa na Maoni Mapendekezo kwa Ajili ya Mazingira Mbalimbali ya Ufundishaji na WanafunziSehemu hii inatoa mapendekezo ya ziada ambayo ni mahususi kwa aina tofauti za wanafunzi na mazingira mbalimbali ya ufundishaji. Mfano wa Muhtasari wa Kupanga SomoHapa ni mfano wa muhtasari unaowezekana wa kupanga somo. Kujiboresha kama Mwalimu Aliye kama Kristo: Tathmini ya BinafsiKama walimu, tunapaswa mara kwa mara kutathmini nguvu na udhaifu wetu ili tuweze kuwa tunajiboresha siku zote katika uwezo wetu wa kuwasaidia wanafunzi kujenga imani katika Yesu Kristo na kuzidi kuwa kama Yeye. Kwa ajili ya Viongozi—Kuwasaidia Walimu WafanikiweUnapokutana na walimu, fikiria njia za kuwaimarisha na kuwatia moyo kwa ukarimu na shukrani kwa ajili ya huduma wanayotoa.