Misaada ya Kujifunza
TJS, Luka 18


TJS, Luka 18:27. Linganisha na Luka 18:27

Kutumaini katika utajiri humzuia mtu kuingia katika ufalme wa Mungu.

27 Naye akawaambia, Haiwezekani kwao watumainio katika utajiri, kuingia katika ufalme wa Mungu; lakini yawezekana kwa Mungu kwamba yule ayaachaye mambo yaliyo ya ulimwengu huu, akaingia mbinguni.

Chapisha