2022
Ezekieli Anafundisha kuhusu Maandiko
Septemba/Oktoba 2022


Hadithi za Maandiko

Ahadi za Ezekieli zinatimia

Picha
Ezekiel writing with quill pen

Ezekieli alikuwa nabii. Mungu alimwonyesha mambo mengi ya siku zijazo ambayo yalikuwa bado hayajatokea. Ezekieli aliyaandika.

Picha
Bible and Book of Mormon

Ezekieli aliandika kuhusu vitabu viwili. Kitabu kimoja kilikuwa Biblia. Kitabu kingine kilikuwa Kitabu cha Mormoni.

Picha
man printing on old-fashioned printing press

Miaka mingi baadaye, Biblia ilichapishwa.

Picha
Joseph and Emma Smith working to translate Book of Mormon

Baada ya miaka mingi zaidi, Joseph Smith alitafsiri Kitabu cha Mormoni. Maono ya Ezekieli yalitimia!

Picha
Jesus Christ

Leo tunaweza kusoma kwenye Biblia na Kitabu cha Mormoni. Vitabu hivi vinafanya kazi pamoja kufundisha kuhusu Yesu Kristo.

Picha
family reading scriptures together

Ninaposoma maandiko, ninajifunza kuhusu Yesu Kristo

Vielelezo na Apryl Stott

Chapisha