Hadithi za Maandiko
Hekalu la Nauvoo
Picha
pioneer family in Nauvoo
Watakatifu walijenga jiji jipya lililoitwa Nauvoo. Mungu aliwaambia kujenga hekalu pale.
Picha
a pioneer man carving a large stone
Watakatifu walifanya kazi kwa bidii ili kulijenga. Walilijenga karibu na mto mkubwa. Walichonga jua na nyota kwenye jiwe.
Picha
a man filling the baptism font with water
Bwana alisema wajenge kisima cha ubatizo ndani ya hekalu. Kilijazwa maji.
Picha
pioneer family in front of a gravestone
Watu walibatizwa kwa ajili ya wanafamilia ambao walikufa kabla hajaweza kubatizwa.
Picha
a family stonding together in front of the temple
Kwa sababu ya mahekalu, ninaweza kuwa na familia yangu milele. Siku moja nitaweza kwenda ndani yake kufanya ubatizo.
Vielelezo na Apryl Stott