Hadithi za Maandiko
Joseph Smith na Mabamba ya Dhahabu
Picha
Joseph Smith teaching
Joseph Smith alikuwa Nabii. Alimsaidia Yesu Kurejesha Kanisa Lake Ulimwenguni.
Picha
Heavenly Father and Jesus appearing to Joseph
Joseph alisali ili kujua kanisa lipi angejiunga nalo. Yesu alisema asiende kwenye kanisa lolote. Hakuna hata moja lililokuwa kanisa Lake.
Picha
Joseph holding the gold plates
Malaika Moroni alimtembelea Joseph. Moroni alimwambia kuhusu kitabu maalum kilichoandikwa kwenye mabamba ya dhahabu. Kilikuwa kimezikwa kwenye kilima jirani.
Picha
Joseph translating gold plates
Kwa msaada wa Baba wa Mbinguni, Joseph alitafsiri maandishi yaliyokuwa kwenye mabamba. Maandishi haya yalikuja kuwa Kitabu cha Mormoni!
Picha
children at church together
Sasa tunaweza kusoma Kitabu cha Mormoni. Na tunaweza kwenda kwenye Kanisa la Yesu Kristo! ●
Vielelezo na Apryl Stott