Hadithi za Maandiko
Ono la Mpango wa Mungu
Picha
Heavenly Father and Jesus appearing to Joesph and Sidney
Siku moja Joseph Smith na Sidney Rigdon walikuwa wakisoma maandiko. Walipata ono. Walimwona Baba wa Mbinguni na Yesu Kristo.
Picha
Heavenly Father and Jesus in heaven
Walijifunza kuwa kabla ya kuzaliwa hapa duniani, tuliishi mbinguni na Mungu.
Picha
mom hugging son
Tulikuja duniani kujifunza jinsi ya kumfuata Yesu na kumsikiliza Roho Mtakatifu. Tunajifunza kutii amri na kutubu wakati tunapofanya maamuzi yasiyofaa.
Picha
Jesus at the tomb
Baada ya kufa, tutafufuka. Ikiwa sisi ni waadilifu, tutaishi na Baba yetu wa Mbinguni tena.
Picha
father reading scripture to children
Ninaweza kujifunza kuhusu mpango wa Mungu katika maandiko. Kwa sababu ya Yesu, ninaweza kuwa na familia yangu milele.
Vielelezo na Apryl Stott