Hadithi za Maandiko
Neno la Hekima
Picha
Joseph Smith speaking to other members
Joseph Smith alifanya mikutano ili kuwafundisha watu kuhusu injili. Wakati mwingine wanaume walivuta na kutafuna tumbaku.
Picha
Joseph and Emma talking
Hili lilimtia wasiwasi Emma Smith. Moshi na tumbaku vilisababisha tatizo kubwa, na haikuonekana sawa. Emma na Joseph walijiuliza jinsi Mungu alivyohisi kuhusu hili.
Picha
Joseph praying
Joseph alisali na Bwana akajibu. Bwana aliwaonya waumini wa Kanisa kuhusu kuvuta sigara na tumbaku. Alisema kuwa si nzuri kwa miili yetu. Pia aliwaonya kuhusu kunywa chai, kahawa au pombe.
Picha
a pile of fruits and vegetables
Mungu alisema tule matunda, mboga za majani na vyakula vingine vyenye afya. Tunayaita mafundisho haya Neno la Hekima.
Picha
a girl eating broccoli with chopsticks
Ninaweza kuishi Neno la Hekima. Baba wa Mbinguni atanibariki ninapoutunza mwili wangu.
Vielelezo na Apryl Stott