Kadi za Shujaa wa Maandiko
Kata kadi, zikunje kwa kufuata mistari ya nukta na zifunge kwa kuzigundisha kwa tepu.
Esta
Picha
Esther standing before King Ahasuerus.
“Wewe Hukuujia … kwa ajili ya Wakati Kama Huo.”
-
Alikuwa malkia jasiri na Muisraeli.
-
Sheria mpya ilisema kwamba Waisraeli wote wanapaswa kuuawa. Yeye alifunga na kuomba. Aliweka maisha yake hatarini ili kuongea na mfalme.
-
Mfalme alimsikiliza. Aliokoa maisha ya watu wake.
Ayubu
Picha
Illustration of Job kneeling in prayer with his home destroyed behind him.
“Mimi najua kuwa mkombozi wangu yu hai”
-
Alikuwa mwadilifu sana. Lakini alikuwa na majaribu mengi. Watoto wake na wanyama walikufa. Akawa mgonjwa sana.
-
Hakujua ni kwa nini vitu vingi vibaya vilimtokea yeye. Lakini alimwamini Mungu.
-
Baada ya muda, aliponywa. Mungu alikuwa pamoja naye katika nyakati nzuri na mbaya.
Picha
cut-out scripture cards
Vielelezo na Alona Millgram