“Nabii Petro,” Rafiki, Julai 2023, 46–47.
Hadithi za Maandiko
Nabii Petro
Picha
Alt text
Vielelezo na Apryl Stott
Baada ya Yesu Kristo kufufuka na kwenda mbinguni, Petro alikuwa nabii.
Picha
Alt text
Petro aliwafunza watu kuhusu ubatizo na Roho Mtakatifu. Maelfu ya watu walichagua kubatizwa!
Picha
Alt text
Siku moja Petro alimwona mtu nje ya hekalu. Mtu yule hakuweza kutembea. Petro akasema, “Katika jina la Yesu Kristo, simama uende.”
Picha
Alt text
Mtu yule aliponywa kwa sababu ya imani yake! Petro aliwafundisha watu hekaluni kuhusu Yesu Kristo.