“Je, Yesu Angefanya Nini Kama Angekuwa hapa Leo?” Rafiki, Mar. 2023, 20.
Majibu kutoka kwa Mtume
Je, Yesu Angefanya Nini Kama Angekuwa hapa Leo?
Imetoholewa kutoka “Mungu miongoni Mwetu,” Liahona, Mei 2021, 8–11.
Picha
Mvulana anatabasamu na kunyosha ngumi hewani.
Angewasaidia watu kuwa na imani na ujasiri.
Picha
Mvulama amekaa na anasoma kitabu
Yeye angefundisha ukweli.
Picha
Msichana akisali akiwa amepiga magoti
Angefundisha kwamba Mungu yu pamoja nasi.