Maneno ya Kujua
A
- madhabahu
-
Sehemu takatifu, eneo lililonyanyuliwa kwa mchanga au miamba ambapo sala au sadaka hutolewa kwa Mungu
Pichamadhabahumadhabahu
- malaika
-
mjumbe kutoka kwa Mungu
- Vazi la kivita
-
Vazi ambalo wanajeshi huvaa kujilinda wao wenyewe katika vita.
PichaVazi la kivitaVazi la kivita
- jeshi
-
Kundi la wanajeshi wakijiandaa kupigana
- mshale
-
Silaha yenye ncha iliyochongoka itumikayo kuwindia au vitani
Pichamshalemshale
B
- ubatizo
-
Ibada ambapo mtu mwenye mamlaka kutoka kwa Mungu humzamisha mtu mwingine majini kabisa na kumnyanyua mtu huyo tena kutoka majini. Ubatizo unahitajika ili kuwa muumini wa Kanisa la Yesu Kristo.
Pichaubatizoubatizo
- mashua
-
Boti kubwa iliyotumika kubeba watu au vitu
Pichamashuamashua
- amini
-
Kuhisi au kujua kwamba kitu fulani ni kweli
- bariki
-
Kumpa mtu kitu ambacho kitamsaidia. Kubariki sakramenti ni kumuomba Mungu kukubali mkate na maji kama ishara ya Yesu Kristo.
- kipofu
-
kutoweza kuona
- utumwa
-
kutokuwa huru, na kutakiwa kufanya kazi siku nzima kwa manufaa ya mtu fulani
- upinde
-
Fimbo ndefu yenye kamba iliyofungwa katika kila ncha yake ambayo hutumika kurusha mishale
Pichaupindeupinde
- bamba za shaba
-
Kumbukumbu ya amri za Mungu na matendo yake kwa mababu wa Lehi
Pichabamba za shababamba za shaba
- jenga
-
kutengeneza au kuunda kitu
C
- kapteni
-
Kiongozi wa jeshi
- rungu
-
Zana iliyotumika kupigia wanyama au watu
Picharungurungu
- amri
-
kitu ambacho Mungu huwaambia watu Wake kufanya ili waje kuwa na furaha
- agano
-
ahadi takatifu kati ya Mungu na watu
- sulubisha
-
Kumuua mtu kwa kumpigilia kwa misumari msalabani
D
- kiziwi
-
kutoweza kusikia
- angamiza
-
Kuharibu au kumaliza kitu kabisa, kama vile mji au maisha
- mwanafunzi
-
mtu anayemfuata Yesu na kujaribu kuwa kama Yeye.
- ndoto
-
hadithi ambayo huwa katika mawazo ya mtu wakati amelala
- kulewa
-
Ukosefu wa kujidhibiti kutokana na kunywa pombe sana
E
- toroka
-
Kwenda mbali na mtu
- uzima wa milele
-
Kuishi milele na Mungu
- uovu
-
Kitu ambacho ni kibaya
F
- imani
-
kuamini katika Yesu Kristo
- uaminifu
-
Kuendelea kutii amri
- baa la njaa
-
Ukosefu wa chakula usababishwao na kukosekana kwa mvua na kushindwa kuota kwa mazao
- kufunga
-
Kutokula wala kunywa wakati ukitafuta msaada wa kiroho
- kujazwa na Roho Mtakatifu
-
Kuwa na Roho Mtakatifu kuweka ukweli kwenye mawazo na akili za mtu
- kusamehe
-
Kusahau vitu vibaya ambavyo mtu amevifanya na kumpenda mtu
- uhuru
-
Kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi
G
- habari njema
-
Jumbe za matumaini na faraja kutoka kwa Mungu
- bamba ya dhahabu
-
Kumbukumbu iliyoandikwa kwenye bati nyembamba za dhahabu. Moroni alizificha bamba hizi katika Mlima Kumora, na Joseph Smith baadaye alizifukua.
Pichabamba ya dhahabubamba ya dhahabu
- injili
-
mafundisho ya Yesu Kristo
- Roho Mkuu
-
Jina la Mungu kutoka kwa Walamani
H
- ponya
-
kufanya mtu aliye mgonjwa ama aliye umia kuwa mzima
- mbinguni
-
mahali ambapo Baba wa Mbinguni na Yesu Kristo wanaishi
- unyenyekevu
-
Kuwa wa kufundishika na wa kutafuta kutenda mapenzi ya Mungu
I
- sanamu
-
Kitu ambacho watu hukiabudu ambacho si Mungu
- fimbo ya chuma
-
Alama katika ndoto ya Lehi ambayo huwakilisha neno la Mungu
J
- jiunge
-
kuwa sehemu ya kikundi
- mwamuzi
-
Kiongozi ambaye huamua nini sheria humaanisha au jinsi watu wanavyotakiwa kuzishika
- Kiti cha hukumu
-
Wadhifa katika serikali ya Wanefi ambayo mwamuzi mkuu alikwa nao
K
- Mfalme
-
Kiongozi juu ya kikundi cha watu
L
- kiongozi
-
Mtu ambaye huongoza kikundi cha watu
- Liahona
-
Chombo cha mviringo cha shaba Mungu alichowapa familia ya Lehi kuwaonyesha njia ya kuelekea nyikani. Kilifanya kazi pale tu familia ya Lehi ilipokuwa yenye haki.
PichaLiahonaLiahona
- uhuru
-
Uhuru wa kufanya uchaguzi
M
- mshiriki
-
mtu ambaye yuko katika kanisa ama kikundi
- muujiza
-
Tukio lisilo la kawaida au tukio linaloonyesha uwepo wa nguvu za Mungu
- mmisionari
-
Mtu ambaye anafundisha injili ya Yesu Kristo
O
- tii
-
kufanya kile ambacho kinatakiwa au kimeamriwa.
- tawaza
-
Kutoa nguvu ya ukuhani na mamlaka
Pichatawazatawaza
- ibada
-
Utaratibu mtakatifu au kitendo ambacho kina maana ya kiroho, kama vile ubatizo au sakramenti
P
- amani
-
Hisia tulivu au wakati ambapo hakuna vita
- tesa
-
Kusema vitu vya uwongo juu ya mtu fulani na kujaribu kuwaumiza
- bamba
-
Vipande vyembamba vya metali ambavyo watu walitumia kuandikia mafundisho ya Mungu na historia za watu
Pichabambabamba
- Kula njama
-
Kuweka mpango mwovu dhidi ya mtu fulani
- nguvu
-
Nguvu ya wema au uovu, mara nyingi msaada maalum au nguvu kutoka kwa Mungu
- sali
-
kuzungumza na Mungu, kumpa shukrani na kumuomba baraka
- ukuhani
-
mamlaka ya kutenda katika jina la Mungu
- gereza
-
Sehemu iliyotumika kuwaweka watu ambao wametenda makosa.
- ahadi
-
Nadhiri au utayari wa kutenda kitu au kuwa mtu fulani
- unabii
-
Kuelezea tukio kabla halijatokea
- nabii
-
Mtu aliyeitwa na Mungu kuwaambia watu mapenzi ya Mungu
- adhibu
-
Kusababisha au kuruhusu vitu vibaya kutokea kwa mtu fulani. Watu mara nyingi wanaadhibiwa wakati hawamtii Mungu.
R
- Mwasi
-
Kutotii au kwenda kinyume na amri
- tubu
-
Kuhisi huzuni kutokana na tendo au wazo na kuahidi kutolirudia
- fufuka
-
Kumrudishia mtu au kitu uhai
- haki
-
Kitu ambacho ni cha Mungu Watu wenye haki ni wale ambao wanafuata amri za Mungu.
- joho
-
Nguo ndefu ya ifunikayo mwili mzima
S
- sakramenti
-
Ibada ambapo wanaume ambao wana ukuhani hubariki na kupitisha mkate na maji kwa watu wengine. Sakramenti huwakumbusha watu kuhusu Yesu Kristo.
- dhabihu
-
Kuacha kitu cha thamani kwa ajili ya Mungu
- Ondoa ngozi ya juu ya kichwa
-
Kukata ngozi ya juu ya kichwa cha mtu fulani
- mtumishi
-
Watu ambao hutumikia au kufanya kazi kwa mtu fulani kama vile mfalme
- Ngao
-
Sehemu ya vazi la kivita ambayo hulinda sehemu ya juu ya mwili wa askari dhidi ya upanga na silaha zingine
- dhambi
-
Kuvunja amri
- watumwa
-
Watu ambao wanalazimishwa kufanya kazi kwa ajili ya watu wengine
- kombeo
-
Silaha itumikayo katika kurusha mawe
Pichakombeokombeo
- askari
-
Mtu ambaye anapigana katika jeshi
- mkuki
-
Fimbo ndefu, yenye ncha kali itumikayo kuchomea
Pichamkukimkuki
- iba
-
kuchukua kitu ambacho ni cha mtu mwingine
- Piga kwa jiwe
-
Kurusha vipande vya miamba kwa mtu mpaka anapofariki
- upanga
-
Kipande kirefu cha metali, chenye makali kitumikacho kukata au kuchana
Pichaupangaupanga
- sinagogi
-
Aina ya jengo ambapo watu hukusanyika kumwabudu Mungu
T
- hekalu
-
nyumba ya Mungu.
Pichahekaluhekalu
- ushuhuda
-
Hisia au ushahidi kwamba injili ni ya kweli
- Bendera ya uhuru
-
Ujumbe ambao kapteni Moroni aliuandika kuwahamasisha watu wake kuulinda uhuru wao
PichaBendera ya uhuruBendera ya uhuru
- mnara
-
Jengo refu au jukwaa refu ambapo watu wanaweza kusimama
Pichamnaramnara
- tafsiri
-
Kubadilisha maneno kutoka lugha moja kwenda nyingine
- Mti wa uzima
-
Mti katika ndoto ya Lehi ambao unawakilisha upendo wa Mungu
- kweli
-
Kitu fulani ambacho kweli kilitokea au ambacho ni kizuri au sahihi
U
- Fahamu
-
Kujua au kuelewa wazo fulani
- Urimu na thumimu
-
Nyenzo maalum ambazo Mungu huwapa manabii kuwasaidia wao kutafsiri na kupokea ufunuo
V
- thabiti
-
Kujua na kulinda kilicho cha kweli
- ono
-
Aina ya ufunuo
W
- vita
-
Mapigano kati ya maadui au majeshi yanayopingana
- silaha
-
Kitu fulani knachotumika kudhuru au kuua watu wengine kama vile upanga au mkuki
- uovu
-
Kitu ambacho si cha Kiungu Mtu mwovu humpenda Shetani na hatii amri za Mungu.
- nyika
-
Sehemu wazi kubwa ya nchi ambayo haina miji au watu
- abudu
-
Kupenda au kumfuata mtu au kitu