Sura ya 43
Yesu Kristo Analipa Jina Kanisa Lake
Aprili 1838
Picha
wanandoa katika gari la kukokotwa na maksai
Picha
Joseph anapokea ufunuo
Wakati Joseph Smith akiwa Far West, Missouri, Yesu alimpa ufunuo muhimu kuhusu jina la Kanisa.
Picha
Yesu amesimama miongoni mwa waumini
Kanisa linaitwa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho. Linaitwa kwa jina la Yesu kwa sababu ni Kanisa Lake na Yeye ni kiongozi wake. Siku za mwisho ni siku za mwisho kabla ya Yesu kuja tena duniani. Watakatifu ni waumini waadilifu wa Kanisa. Watakatifu wa siku za mwisho ni waumini wa Kanisa ambao wanaishi sasa.