Scripture Stories
Sura ya 55: Ufunuo kuhusu Ndoa: Julai 1843


Sura ya 55

Ufunuo kuhusu Ndoa

Julai 1843

Picha
Hekalu la Nauvoo
Picha
wana ndoa wakiwa mbele ya hekalu

Joseph Smith alimwuliza Bwana baadhi ya maswali kuhusu ndoa. Yesu alimwambia kwamba mwanamume na mwanamke wanapaswa kufungishwa ndoa na mtu ambaye ana ukuhani. Wanapaswa kufunga ndoa hekaluni. Kama watatii amri za Mungu, watakuwa wamefunga ndoa milele.

Picha
familia katika ufalme wa selestia

Watu waadilifu waliofunga ndoa hekaluni wataishi katika ufalme wa selestia wa mbinguni. Watoto wao wanaomtii Mungu watakuwa wao, na watakuwa familia ya milele. Wataishi na Mungu na kuwa kama Yeye.

Picha
Joseph akipata ono la manabii wa zamani

Yesu pia alimwambia Joseph kuhusu historia ya ndoa miongoni mwa watu Wake walioishi hapo zamani.

Chapisha