Scripture Stories
Mpangilio wa Muda wa Agano Jipya


Mpangilio wa Muda wa Agano Jipya

Kabla ya kuzaliwa kwa Yesu hadi B.K. 2

  1. Elisabeti na Zakaria

  2. Mariamu na Malaika

  3. Yohana Mbatizaji Anazaliwa

  4. Yusufu na Malaika

(B.K. 0–2)

  1. Yesu Kristo Anazaliwa

  2. Kuwekwa Hekaluni

  3. Mamajusi

  4. Mfalme Herode Mwovu

B.K. 11

  1. Mvulana Yesu

B.K. 31

  1. Yesu Anabatizwa

  2. Yesu Anajaribiwa

  3. Harusi huko Kana

  4. Yesu na Nyumba ya Baba yake wa Mbinguni

  5. Nikodemo

  6. Mwanamke Kisimani

  7. Mwana wa Kiongozi

  8. Watu Wenye Hasira Nazareti

  9. Yesu Anachagua Mitume Wake

  10. Mahubiri ya Mlimani

  11. Yesu Anafundisha kuhusu Sala

  12. Yesu Anaamuru Upepo na Mawimbi

  13. Mtu Mwenye Mapepo

  14. Mtu Ambaye Hakuweza Kutembea

B.K. 32

  1. Binti wa Yairo Anafufuliwa kutoka Wafu

  2. Mwanamke Anagusa Mavazi ya Yesu

  3. Yesu Anamsamehe Mwanamke

  4. Akifanya Kazi ya Baba yake Duniani

B.K. 33

  1. Yesu Anawalisha Watu 5,000

  2. Yesu Anatembea juu ya Maji

  3. Mkate wa Uzima

  4. Yesu Anamponya Kiziwi

  5. Petro Anashuhudia juu ya Kristo

  6. Kuonekana katika Utukufu: Kugeuzwa

  7. Mvulana mwenye Pepo

  8. Msamaria Mwema

  9. Yesu Anaelezea Mafumbo Matatu

    • Kondoo Aliyepotea

    • Sarafu Iliyopotea

    • Mwana Aliyepotea

  10. Wenye Ukoma Kumi

  11. Farisayo na Mtoza Ushuru

  12. Yesu Anamponya Kipofu

  13. Mchungaji Mwema

  14. Yesu Anawabariki Watoto

  15. Mvulana Tajiri

B.K. 34

  1. Yesu Anamfufua Lazaro

Wiki ya Mwisho ya Maisha ya Mwokozi

  1. Mwokozi Anaenda Yerusalemu

  2. Senti za Mjane

  3. Ujio wa Pili

  4. Wanawali Kumi

  5. Talanta

  6. Sakramenti ya Kwanza

  7. Mafundisho Mengine katika Mlo wa Mwisho

  8. Yesu Anateseka katika Bustani ya Gethsemane

  9. Mashitaka ya Yesu

  10. Yesu Anasulubiwa

  11. Yesu Amefufuka

B.K. 34–70

  1. Mitume Wanaongoza Kanisa

  2. Petro Anamponya Mtu

  3. Watu Waovu Wanamwua Stefano

  4. Simoni na Ukuhani

  5. Sauli Anajifunza kuhusu Yesu

  6. Petro Anamfufua Tabitha

  7. Paulo na Sila Gerezani

  8. Paulo Anamtii Roho Mtakatifu

  9. Paulo Anahitimisha Utume Wake

Namba kabla ya kichwa cha habari inaonyesha sura ya kitabu hiki ambapo unaweza kusoma hadithi hiyo.

Tarehe na mpangilio wa matukio ni makisio.

Chapisha