Sura ya 25
Mwanamke Anagusa Mavazi ya Yesu
Picha
mwanamke akigusa vazi la Yesu
Siku moja alimwona Yesu akiwa amezingirwa na watu wengi. Aliamini kwamba angeponywa kwa kugusa tu vazi Lake. Alitembea katikati ya umati na kugusa vazi Lake.
Picha
mwanamke akitoa tabasamu kwa Yesu
Aliponywa mara moja. Yesu aligeuka na kuuliza, “Ni nani aliyegusa mavazi yangu?”
Picha
mwanamke amepiga magoti
Mwanamke alikuwa na hofu. Alipiga magoti mbele ya Mwokozi na kusema kwamba alikuwa amemgusa. Yesu alimwambia kwamba imani yake Kwake ilimponya.