Sura ya 36
Yesu Anaelezea Mafumbo Matatu
Picha
watu watatu wamesimama
Mafarisayo waliamini kwamba watu wema hawapaswi kuzungumza na wenye dhambi. Walidhani kwamba Yesu hakuwa mtu mwema kwa sababu alikuwa akizungumza na wenye dhambi.
Picha
Yesu akitazama pembeni
Mwokozi alitaka kuwasaidia Mafarisayo kuelewa ni kwa nini Yeye alikuwa na wenye dhambi. Aliwaambia mafumbo matatu. La kwanza lilikuwa kuhusu kondoo aliyepotea.
Luka 15:3; Mafundisho ya Nabii Joseph Smith, 277