47 Ninakuhitaji Kwa hamasa 1. Ninakuhitaji, Ewe Bwana. Hakuna mwingine Kuniponya. [Chorus] Yesu nakuhitaji; Muda wote Bwana! Nibariki Mwokozi; Naja kwako! 2. Ninakuhitaji; Kwangu njoo. Jaribu hushindwa Ukiwepo. [Chorus] Yesu nakuhitaji; Muda wote Bwana! Nibariki Mwokozi; Naja kwako! 3. Ninakuhitaji, Muda wote. Njoo kwa haraka, Niwezeshe. [Chorus] Yesu nakuhitaji; Muda wote Bwana! Nibariki Mwokozi; Naja kwako! 4. Ninakuhitaji, Bwana Mungu. Nifanye wa kwako, Mtukufu! [Chorus] Yesu nakuhitaji; Muda wote Bwana! Nibariki Mwokozi; Naja kwako! Maandishi: Annie S. Hawks, 1835–1918 Muziki: Robert Lowry, 1826–1899 2 Nefi 4:16–35 Zaburi 143:1