124 Bwana, Pokea Uliko Kwa kushangilia 1. Bwana, pokea uliko Kila anayetubu, Azaliwaye kwa maji Na roho wako, Mungu. Wafariji na ongoza Maisha ya vijana; Na neno lako tukufu Liwape maarifa. 2. Hamjui ndiye Mungu? Na akawa shahidi, Kwamba njia ni nyembamba Irudiyo mbinguni. Sikia habari njema; “Njoo, unifuate Katika ufalme wangu, Na uishi milele.” 3. Ukweli umerejeshwa: Ibada takatifu, Kwa agano ziokoe Milele wanadamu! Watu wote mfurahi! Watu wote muimbe! Waliokufa wasifu Mungu wetu Mfalme! Maandishi: Mabel Jones Gabbott, 1910–2004. © 1948 IRI Muziki: Alexander Schreiner, 1901–1987. © 1948 IRI 2 Nefi 31:5–13 Mafundisho na Maagano 128:12, 22