Muziki
Fimbo Ya Chuma


158

Fimbo Ya Chuma

Kwa shangwe

1. Kwa Nefi, mwonaji yule,

Mungu kafunua,

Mfano wa neno lake

Ni fimbo ya chuma.

[Chorus]

Ishike fimbo ya chuma;

Aminifu kweli.

Hii fimbo— neno la Bwana—

Mwongozo thabiti.

2. Tupo bado safarini,

Kwenye majaribu;

Tutapitia gizani,

Penye hatari tu.

[Chorus]

Ishike fimbo ya chuma;

Aminifu kweli.

Hii fimbo— neno la Bwana—

Mwongozo thabiti.

3. Adui akisogea,

Kutisha njiani,

Tushike fimbo ya chuma,

Tuombe auni.

[Chorus]

Ishike fimbo ya chuma;

Aminifu kweli.

Hii fimbo— neno la Bwana—

Mwongozo thabiti.

4. Hatua na kwa hatua,

Siku hadi siku,

Kwa sala na wimbo pia,

Tusonge mbele tu.

[Chorus]

Ishike fimbo ya chuma;

Aminifu kweli.

Hii fimbo— neno la Bwana—

Mwongozo thabiti.

5. Pumziko li karibu,

Yaongoza fimbo,

Tutapata utukufu

Tukishika neno.

[Chorus]

Ishike fimbo ya chuma;

Aminifu kweli.

Hii fimbo— neno la Bwana—

Mwongozo thabiti.

Maandishi: Joseph L. Townsend, 1849–1942

Muziki: William Clayson, 1840–1887

1 Nefi 15:23–25

1 Nefi 8

1 Nefi 12:17

Chapisha