117 Usiku Mtulivu! Kwa utulivu 1. Usiku mtulivu! Ku kimya, ku ng’avu Kote kwa mama na Mwana. Mtukufu, Mwana mwanana, Lala kwa amani Lala kwa amani. 2. Usiku mtulivu! Mchunga ahofu! Utukufu watokea; Mbingu yaimba Haleluya! Azaliwa Kristo! Azaliwa Kristo! 3. Usiku mtulivu! Upendo mng’avu Wang’ara mwako usoni Na neema ya ukombozi, Waja Bwana Mungu. Waja Bwana Mungu. Maandishi: Joseph Mohr, 1792–1848; Yametafsiriwa na John F. Young, 1820–1885 Muziki: Franz Gruber, 1787–1863 Luka 2:7–14 Alma 7:10–12