115 Kwenye Mji wa Daudi Kwa utulivu 1. Kwenye mji wa Daudi Kwenye zizi la ng’ombe, Ndipo mama kamlaza Horini mwana wake; Mama mpole Maria, Yesu mwanae mchanga. 2. Alikuja duniani, Bwana Mungu wa wote. Kwenye nyasi alilala, Zizi hifadhi yake; Wapole nao maskini, Kristo aliwathamini. 3. Na sote tutamuona Kwa wake ukombozi, Kwani mtoto mpole Ni Mungu wa mbinguni; Huwaongoza watoto Mahali ambapo yupo. Maneno: Cecil Frances Alexander, 1818–1895 Muziki: Henry J. Gauntlett, 1805–1876 Luka 2:4–7, 11–12 Mosia 3:5–8