21 Watakatifu Mtii Kwa shauku 1. Watakatifu mtii Mwamuzi mkuu. Andaa njia ya Bwana; Sasa yu karibu. Andaeni meza kuu, Wote waje kula. Tazama Bwana Harusi Aja kwa adhama. 2. Mwombeni Bwana kwa sala Ili wanadamu Waupokee ufalme Na wote wasifu. Funguo zimerejeshwa; Injili sambaza, Wekeni wazi ukweli Umefunuliwa. 3. Utukufu wake Bwana Wawaka Sayuni, Maana ndiyo mnara; Naye ni mlezi. Watakatifu fuata Nyayo za mababu. Kwa nyoyo za shukurani Tumuenzi Mungu. Maandishi: Ed M. Rowe, 1878–1951. © 1948 IRI Muziki: Robert P. Manookin, 1918–1997. © 1948 IRI Mafundisho na Maagano 58:5–12 Mafundisho na Maagano 64:41–42