184 Ni Mwanangu Mpendwa Kwa hisia 1. Kwenye maji ya Yordani Yesu alibatizwa, Mungu Baba akasema: [Chorus] “Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!” 2. Wanefi walivyomwona Mwokozi anashuka, Baba alishuhudia: [Chorus] “Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!” 3. Ndipo Joseph akamwona Mungu Baba na Mwana, Yesu akatambulishwa: [Chorus] “Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!” 4. Nikisoma maandiko, Maneno yake Bwana, Nitamsikia Mungu: [Chorus] “Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!” Maandishi: Marvin K. Gardner, kuz. 1952 Muziki: Vanja Y. Watkins, kuz. 1938 © 1987 Vanja Y. Watkins na Marvin K. Gardner. Intatumika kwa ruhusa. Mafundisho na Maagano 18:34–36 Wimbo huu ni kwa matumizi ya kawaida, ya kanisa yasiyo ya kibiashara au matumizi ya nyumbani. Mathayo 3:16–17 3 Nefi 11:6–8 Joseph Smith—Historia ya 1:17 Mafundisho na Maagano 18:34–36