184
Ni Mwanangu Mpendwa
Kwa hisia
1. Kwenye maji ya Yordani
Yesu alibatizwa,
Mungu Baba akasema:
[Chorus]
“Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!”
2. Wanefi walivyomwona
Mwokozi anashuka,
Baba alishuhudia:
[Chorus]
“Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!”
3. Ndipo Joseph akamwona
Mungu Baba na Mwana,
Yesu akatambulishwa:
[Chorus]
“Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!”
4. Nikisoma maandiko,
Maneno yake Bwana,
Nitamsikia Mungu:
[Chorus]
“Ni Mwanangu Mpendwa. Mfuate!”
Maandishi: Marvin K. Gardner, kuz. 1952
Muziki: Vanja Y. Watkins, kuz. 1938
© 1987 Vanja Y. Watkins na Marvin K. Gardner. Intatumika kwa ruhusa. Mafundisho na Maagano 18:34–36 Wimbo huu ni kwa matumizi ya kawaida, ya kanisa yasiyo ya kibiashara au matumizi ya nyumbani.
Mathayo 3:16–17