Muziki
Bwana, Nyumba Yako


141

Bwana, Nyumba Yako

Kwa unyenyekevu

1. Bwana, nyumba yako

Twaipenda sana;

Furaha inayo

Isiyopimika.

2. Ni nyumba ya sala.

Hukutana watu,

Nawe upo Bwana

Wote kusalimu.

3. Injili twapenda

Yaleta amani

Ya kufurahisha,

Ya kutufariji.

Maandishi: William Bullock, 1797–1874

Muziki: Leroy J. Robertson, 1896–1971. © 1948 IRI

Zaburi 26:8

Mafundisho na Maagano 84:43–44

Chapisha