Sayari ambayo juu yake tunaishi, iliumbwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo ili itumiwe na mwanadamu wakati wa kuzaliwa katika mwili wenye kufa na kwa majaribio yake. Hatima yake ni kuwa iliyotukuzwa na kuinuliwa. (M&M 77:1–2; 130:8–9). Dunia itakuwa ni urithi wa milele wa wale walioishi wakistahili fahari ya selestia (M&M 88:14–26). Watafurahia uwepo wa Baba na Mwana (M&M 76:62).