Misaada ya Kujifunza
Edeni


Edeni

Nyumbani kwa wazazi wetu wa kwanza, Adamu, na Hawa (Mwa. 2:8–3:24; 4:16; 2 Ne. 2:19–25; Musa 3–4; Ibr. 5), Edeni ilitengenezwa kama bustani, nayo ilikuwa katika upande wa mashariki. Adamu na Hawa walitolewa nje ya Edeni baada ya kula tunda lililokatazwa na wakawa na miili yenye kufa (Musa 4:29). Ufunuo wa siku za mwisho unathibitisha maelezo ya biblia juu ya Bustani ya Edeni. Unaongezea taarifa muhimu kwamba bustani hiyo ilikuwa mahali ambako sasa ni bara la Marekani ya Kaskazini.

Chapisha