Zaburi
Mashairi au nyimbo zilizotungwa kwa mwongozo wa Mungu.
Kitabu cha Zaburi
Kitabu cha Agano la Kale ambacho kinamkusanyiko wa zaburi, nyingi kati ya hizo ni juu ya Kristo. Kitabu cha Zaburi kimenukuliwa mara kwa mara katika Agano Jipya.
Daudi aliandika nyingi ya Zaburi hizi. Zaburi ziliandikwa kama sifa kwa Mungu. Nyingi zilitungwa kwa mtindo wa muziki.