Shemu
Katika Agano la Kale, ni mwana mwadilifu wa Nuhu na, kulingana na desturi, ni mhenga wa Washemiti, au Semiti, pamoja na Waarabu, Waebrania, Wababilonia, Waashuri, Wafoenike, na Waashuru (Mwa. 5:29–32; 6:10; 7:13; 9:26; 10:21–32; Musa 8:12). Katika ufunuo wa siku za mwisho Shemu anaelezwa kama “yule kuhani mkuu sana” (M&M 138:41).