Uumbaji wa Kiroho Ona pia Mwanadamu, Wanadamu; Umba, Uumbaji Bwana aliumba vitu vyote kiroho kabla Yeye hajaviumba kimwili (Musa 3:5). Bwana alifanya kila mmea kabla haujakuwepo katika dunia, Mwa. 2:4–6 (Ibr. 5:5). Kwa uwezo wa Roho wangu niliviumba vitu vyote—kwanza kiroho, pili kimwili, M&M 29:31–32. Kila kilicho cha kimwili kiko kwa mfano wa kile kilicho cha kiroho, M&M 77:2. Niliuumba ulimwengu na wanadamu kabla hawajawa katika mwili, Musa 6:51.